show episodes
 
Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.
  continue reading
 
Podcast mahususi kujifunza mambo ya maendeleo binafsi (Personal development/Self-improvement), maisha, mahusiano, saikolojia na elimu ya fedha. Ni podcast ya kipekee ambayo utajifunza mambo mengi ambayo yanatokea kwenye maisha yetu ya kila siku, kila kitu kinachozungumzwa hapa kina uhalisia na siyo nadharia ya kusadikika. Kuwa sehemu ya familia hii na uhakika hautakuwa kama ulivyokuwa mwanzo, podcast ambayo itaboresha na kuongeza thamani ya maisha yako mara 10X au zaidi. Hakikisha unafollow ...
  continue reading
 
Makala ya Wimbi la Siasa inakupa fursa ya kufahamu masuala ya kisiasa yanayoendelea ndani na nje ya Bara la Afrika. Kwenye Makala haya utapata habari ambazo zinakugusa moja kwa moja wewe msikilizaji. Kila wakati usikose kusikiliza Makala ya Wimbi la Siasa
  continue reading
 
Maelezo - Neno ni sehemu ya huduma ya kimataifa ya mafundisho ya biblia nzima ya Thru The Bible. Mfululizo wa mafundisho haya kwanza yaliandaliwa na Dkt. J. Vernon McGee na kutafsiriwa kwa lugha zaidi ya mia moja na kabila. mafundisho hayo yakusudiwa kuwa ya dakika 30 kwenye radio ambayo kwa mpangilio maalum humwezesha msikilizaji kujifunza Biblia nzima. Sasa ujumbe ndizo twakusilishia kwenye mtandao. Twashukuru kwamba umeanza kujifunza mengi zaidi katika Neno la Mungu kwa njia ya ujumbe hiz ...
  continue reading
 
Hiki ni kipindi cha kila Mkristo anaye tarajia kwenda mbinguni, kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Fuata Bibblia Ikuongoze, Ina usika na MAULIZO, MAONYO na MAFUNDISHO ya Neno La Mungu. Soma: 2 Timotheo 3:16-17. Soma tena: Yohane 8:32 Lengo la Kipindi hiki ni, kuwaelimisha watu wa Mungu, katika Neno la Mungu. Kwakuwa Biblia ina sema katika: Methali 12:1. Kila apendaye mafundisho hupenda maarifa; Bali yeye achukiaye kulaumiwa ni kama mnyama. Kwahio kila Mkristo ana karibishwa katika kipindi hiki, cha ...
  continue reading
 
Artwork
 
Stori za Kweli, Watu wa Ukweli, Maamuzi Sahihi! Maisha bora huanza kwa kusema #Naweza. Sikiliza kipindi cha Naweza | Radio Free Afrika kila Jumamosi saa 11 jioni | Radio TBC Taifa kila Jumapili saa 11:30 jioni | Radio One kila Jumamosi saa 2:15 usiku Kipindi cha Naweza Show kinaletwa kwenu na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia kitengo cha Elimu ya Afya kwa Umma (HPS)
  continue reading
 
Karibu katika Podcast ya Swahili Tech ambapo utafahamu mengi kuhusiana na Teknolojia, social media, applications, simu, na vifaa tunavyotumia kila siku katika maisha yetu. Karibu sana na usiache ku-subscribe ili uoate infos kali.
  continue reading
 
Tutakuangazia Duniani kote, tukikupa habari, maoni, na mitazamo mbalimbali ju ya maswala ya maisha yetu ya kila siku kama Familia, Mahusiano, Elimu, Teknolojia,Michezo, sanaa, ubunifu, mavazi na mitindo Mafanikio, lengo letu ni kuelimisha, kuburudisha na kufundisha.
  continue reading
 
Redio podcast hii inalengo la kuhabarisha,burudisha na kuelimisha kwa kukuletea habari moto moto sanjari na matukio ya kijamii yasio chacha yanayo jiri kutoka kila sehemu Duniani kote. B-Voice Radio Dunia moja habari pamoja!
  continue reading
 
Artwork

1
Afisa Afya

S. Karata & Y. Uzuwila

Unsubscribe
Unsubscribe
Havi
 
AfisaAfya ni podcast pekee ya lugha ya Kiswahili itakayokuwa inawaletea mada, mijadala na mahojiano kuhusu afya ya mwanadamu na jinsi ambavyo afya zetu zinaweza kuathiriwa na mazingira tunamoishi, kila siku ya jumapili.
  continue reading
 
Wanawake wengi wanajikuta wana uzito fulani kuhusu mambo ya ndani(intimacy)Afya ya akili(Mental health ) ni muhimu na ni mazungumzo ambao yanabidi yazungumzwe kwa uwazi ili wanawake wasijisikie wako peke yao kwenye mambo mengi kwa hofu ya kudhalilishwa au kitiwa /kujihisi aibu kuwa wanapitia mengi yalokuwa yanawabomowa kisaikolojia.Jumuika nami tukuwa na wazungumzaji tofauti kila wiki tujijenge kiafya.
  continue reading
 
Nikiwa Kama mwanahabari chipukizi naamini kuwa siku moja nitatimiza ndoto zangu lakini marafiki ndugu na jamaa wote na Kila mtu ndio nguzo yangu katika hii fani . Mimi sio mkamilifu endapo Kuna mahali nimekosea kwa kile ambacho nafanya Basi nitashukuru nikipata mtu na kuniongoza . Katika podcast hii hutuma habri na maelezo mbali mbali ya kijamii .
  continue reading
 
Selections of Independent music from eras past and present. Music new and old, of angst, love, lament and celebration. Jane Birkin, Leonard Cohen, Ian Curtis, Conor Oberst & Serge Gainsbourg all included in the mosaic of art in music that is some archaic mystery cult ritual. What stirs in the psyche of one lost child in the Universe, what draws the eye and makes the aperture of the soul grow, what clues that path, that line, that way to the feeling of the transcendental. &c
  continue reading
 
Huu ni wasaa wa kukutana na wageni mbalimbali watakaokuwa wakifika katika studio zetu na kuzungumza moja kwa moja yaani LIVE. Ni mjadala wa kila Jumatano asubuhi ambao utagusa masuala muhimu yanayoibuka ndani na nje ya Bara la Afrika katika nyanja tofaut itofauti. Mjadala wa wiki ni wasaa utakaokuzungusha dunia nzima kupitia mawimbi ya RFI Kiswahili.
  continue reading
 
Talisman Brisé ni tamthilia ya redio inayosimulia hadithi ya mtunza bustani Kwame ambaye bosi wake Profesa Omar anatekwa nyara na watu wasiojulikana. Kwa nini Profesa Omar anatekwa nyara na watu hao? Mfanyakazi wake Kwame atafanikiwa kumuokoa Bosi wake? Fuatilia haya kwenye tamthilia ya Talisman Brise hapa rfi kila siku ya jumapili ndani ya Makala ya Changu Chako Chako Changu.
  continue reading
 
Artwork
 
Scott Herrold is known for his interviews. He does a daily radio show on SOS Radio. This podcast is a deep dive into worldview, faith and culture with real thought leaders. Scott's talked with people like Chuck Norris, Darryl Strawberry, Bob Goff, Sean Astin, Oliver North, Jeff Foxworthy, Charles Stanley, Max Lucado & more!
  continue reading
 
Makala ambayo inakupa nafasi ya kujua masuala mbalimbali ya Muziki na Burudani. Ndani ya makala haya utapata taarifa za wanamuziki, historia zao na bila kusahau mahojiano na wanamuziki mbalimbali. Hii ni fursa ya pekee kwa wasikilizaji kujiliwaza baada ya kazi za juma zima kupitia burudani ya muziki. Makala ya muziki ijumaa pia itakuwezesha kufahamu wasanii kutoka sehemu mbalimbali duniani na kujua wanafanya nini.
  continue reading
 
Artwork
 
Your client’s been wronged, and they want justice. Just wait for the wrongdoer to accept responsibility? Yeah, right. You need answers to questions like “What really happened?” and “Why did it happen?”. And whatever bad thing happened, you want to ensure it doesn’t happen again. It takes the right strategies, tactics, and grit to get the just outcomes your clients deserve. Hosted by Pennsylvania medical malpractice attorney Brendan Lupetin, a founder of Lupetin and Unatin, Attorneys at Law i ...
  continue reading
 
Blockbytes Video Podcasts discuss cryptocurrencies, blockchain, and web3 news. Dive head first into series like 'Across The Chains', 'Beyond The Block', 'Quick Flip', 'The Feature by Blockbytes', 'Developers' Corner' and more!
  continue reading
 
Artwork
 
Dark side of the mic is a comedic and entertaining perspective of current topics, pop culture, social activities, and the trip we all know as life. Get your weekly dose from James and Steven on iTunes, Spotify, Google Play, or SoundCloud. Like and follow Dark side of the mic at Facebook.com/dsotmpodcasts
  continue reading
 
Welcome to TARP (The Aditi Rathore Podcast) This Podcast is a one-stop solution for everything and anything which revolves around our kids. From parenting tips to counselling to story telling and many more. So come, listen and explore with Aditi Rathore.
  continue reading
 
Have you lost a baby in a miscarriage, stillbirth or SIDS? Do you feel alone? Are you angry, depressed or struggling with all the emotions infant loss can have? Are you met with unwanted advice, inappropriate encouragement or feel bitter about your loss? Are you wondering where God stands in all this chaos? Do you wonder why America hasn't done much to save babies from preventable stillbirth? Were you able to get a certificate from your state dignifying your baby's life after you lost your b ...
  continue reading
 
Loading …
show series
 
JN JABAR NOW RABU 11 SEPTEMBER 2024 HL : 1. LAPAK TAMBAL BAN TERBAKAR TIMBULKAN LEDAKAN 2. POLDA JABAR GULUNG PENIPUAN YANG DILAKUKAN OLEH NARAPIDANA 3. KPU KABUPATEN TASIKMALAYA TERIMA LOGISTIK BILIK SUARA PILKADA SUSUNAN : 1. SEBUAH LAPAK TAMBAL BAN DI JALAN RAYA ALTERNATIF SENTUL KECAMATAN SUKARAJA KABUPATEN BOGOR LUDES TERBAKAR// KEBAKARAN DIDU…
  continue reading
 
I met Kila Gonzales over the phone a few years ago as she was starting up her nonprofit. She was my answer to a prayer. She runs a non profit called ⁠I Will Carry You: Birth and Bereavement Doula Services.⁠ Her nonprofit serves the families who have received a terminal diagnosis and families whose babies will be born still. Kila has an amazing stor…
  continue reading
 
Makala ya Wimbi la siasa inaangazia tukio la kutekwa na kuuawa, kwa wanasiasa wa upinzani kwenye nchi za Afrika mashariki,tukio la hivi punde likiwa ni kutekwa kwa mwanasiasa mwandamizi wa chama cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema Ali Kibao, na baadaye alikutwa ameuawa, na matukio haya yanaripotiwa pia nchini Uganda na DRC. Ungana na Ruben Luk…
  continue reading
 
KRP 1414 – RABU 11 SEPTEMBER 2024 1. HINGGA SELASA, TIM GABUNGAN MASIH MENCARI SATU NELAYAN TENGGELAM DI GARUT SELATAN, SATU DITEMUKAN DALAM KONDISI MENINGGAL DUNIA (GRT-NGU) HL 2. RATUSAN WARGA MANGUNREJA KESULITAN AIR BERSIH, POLRES TASIKMALAYA DISTRIBUSIKAN 5000 LITER AIR (TSM-NGU) 3. SAPAHATI, PASAR MURAH TEKAN LAJU INFLASI DI KOTA BANJAR (BJR-…
  continue reading
 
I share the case of Brittany Watts, an Ohio woman, who lost a baby at almost 21 weeks. Her baby was stillborn. She was charged for abuse of a corpse. She was given no direction by the hospital. She did all the right things to address her loss and unfortunately, she was punished for it. This case is just a reminder why we MUST address the stillbirth…
  continue reading
 
1. PULUHAN MAHASISWA DAN PKL PUNCAK BERDEMO DI KANTOR BUPATI BOGOR// MEREKA MEMINTA PJ BUPATI BOGOR PULANG KE KENDARI KARENA GAGAL MENGELOLA KABUPATEN BOGOR// SELAIN ITU MEREKA MENUNTUT INSPEKTORAT UNTUK MEMERIKSA PJ BUPATI TERKAIT KEGIATAN DI HIGHLAND PARK CIAPUS DAN LABUHAN BAJO. AKSI INI BERAKHIR RICUH KARENA MASSA MEMAKSA DAN MENJEBOL GERBANG U…
  continue reading
 
KRP 1413 – SELASA 10 SEPTEMBER 2024 1. PERTANYAKAN IZIN PENGELOLAAN, RATUSAN RATUSAN WARGA ONTROK PEMBANGUNAN AREA CIKEMBULAN PASS PANGANDARAN (PND-NGU) HL 2. DI TASIKMALAYA, BERANDALAN BERMOTOR SERANG WARGA YANG NONGKRONG DIWARUNG (KOTSM-NGU) ## ANUGERAH PENYIARAN – BPIP PRAKOSO 3. BAWASLU KABUPATEN TASIKMALAYA SIAPKAN POSKO LAYANAN PENGADUAN MASY…
  continue reading
 
“Come and get me! Come and get me!” That’s what the 34-year-old man suffering from a mental health breakdown told state troopers responding to his family’s call for help. At least that’s what one of the troopers testified during cross-examination in federal court. Attorney Noah Geary brought civil rights claims against the trooper, arguing that he …
  continue reading
 
Richard Blank is the Chief Executive Officer for Costa Rica’s Call Center, a division of Cheyenne Consultants, a company incorporated in Costa Rica. At the beginning of the new millennium, Mr. Blank relocated to Costa Rica to train over 500 employees for one of the larger call centers in Central America. By utilizing his motivational public speakin…
  continue reading
 
hady Honaker is the founder of ⁠Sam's Love⁠. Sam's Love provides memory books free of charge for those who lose babies. Sam's Love was founded in memory of her son, Samuel Beckett, who was born still on January 27, 2021, during the height of the Covid Pandemic. Sam's Love also holds a yearly 5k to keep the cost of their memory books free for all wh…
  continue reading
 
My name is CreativSoul. I’m an author, podcaster, hairstylist, and mother. My mission is to help others understand they have a purpose. creativsoul.business@gmail.com http://youtube.com/pain2purposepod https://www.tiktok.com/@reesec81 Tears of A Shattered Heart Wonderfully Made Affirmation Coloring Book: Little Girl Coloring Book Send us a text Tak…
  continue reading
 
Katika makala haya tunajadili hatua ya umoja wa mataifa kusema unatathimini kutangaza vikwazo dhidi ya majenerali wawili nchini Sudan ambao wamekuwa kwenye vita kwa zaidi ya miezi 17. Je unafiriki kutangazwa kwa vikwazo dhidi ya majenerali wa Sudan kutasitisha vita nchini Sudan? Unahisi jumuiya ya kimataifa imesaidia, kutatua mizozo Africa, ndio ma…
  continue reading
 
Kwenye makala ya Habari Rafiki leo tunajadili kilichofanyika nchini Kenya, ambapo taifa hilo la Africa mashariki limeadimisha miaka 14 tangu lijipatie katiba ya mwaka 2010, ila imekuwa vigumu kwa serikali kutekeleza baadhi ya vipengee vya katiba hiyo. Unafiriki nini huzuia serikali yetu kuttotekeleza katiba? Ndilo swali tumekuuliza, na haya maoni y…
  continue reading
 
Makala hii imeangazia hali ya kibinadamu inavyoendelea kuwa mbaya ndhini Sudan licha ya juhudi za kimataifa zinzoendelea.Nini kifanyike ili kufikia amani ya kudumu ya Sudan? kwa nini serikali imekataa kukaa meza moja na wapiganaji wa RSF? kuangazia hili, Ruben Lukumbuka anazungumza na Lugete Musa Lugete ni mchambuzi wa siasa za Kimataifa akiwa Tanz…
  continue reading
 
KRP 1402 – RABU 28 AGUSTUS 20241. WARGA CILIANG AKAN KEMBALI GEDURUK DPRD JIKA TUNTUTAN TAK DIPENUHI (PND-GP) HL2. KODIM CIAMIS PANEN RAYA 100 HEKTAR PADI DI KOTA BANJAR (BJR-LER) HL3. PILKADA 2024, BAPASLON WALIKOTA WAKILWALIKOTA BANJAR BELUM ADA YANG MENDAFTAR PADA HARI PERTAMA PENDAFTARAN (BJR-LER) 4. KOALISI TASIKMALAYA MAJU USUNG CECEP ASEP SE…
  continue reading
 
katika makala ya Rabari Rafiki, leo mskilizaji tunajadili hatua ya Mataifa ya Afrika yalioathirika na ugonjwa Mpox kuendelea kusubiri chanjo kutoka kwa mataifa ya magharibi ili kuwapa raia walioathirika. Je unafikiri kwa nini hadi sasa Afrika haiwezi tegeneza chanjo yake? Ndilo swali tumekuuliza na haya maoni yako.…
  continue reading
 
Katika makala haya tunajadili hatua ya kiongozi wa kijeshi nchini Sudan, kusema hataki mazungumzo yoyote yatayohusisha wapiganaji wa RSF, akisema jeshi liko tayari kupigana hata kwa miaka 100. Matamshi yake yamekuja wakati huu Marekani ikiongoza juhudi za kupata mwafaka wa mani kati yake na vikosi vya RSF.…
  continue reading
 
Grew up singing and making music solo and in groups. Found my way into audio engineering, then made a family. Settled down, moved to Cali and drama occurs. I have been fighting for custody of my daughter for four years now (since she was 7). I’ve learned a lot about parental alienation and the family court system as I’ve been “in pro per” during th…
  continue reading
 
Gasoline is refined from crude oil that contains benzene, a known carcinogen, but oil companies have long considered removing benzene from the gasoline manufacturing process a “dollars-and-cents” decision. Jurors considering whether ExxonMobil’s gasoline caused a Pennsylvania man’s leukemia made this decision: $725.5 million for the plaintiff. Andr…
  continue reading
 
Karibu katika Makala Wimbi la siasa ambapo tunazungumzia Mkutano wa 44 wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika uliofanyika Harare, Zimbabwe ambapo viongozi walijadili changamoto zinazolikabili kanda hilo hususan usalama mashariki mwa DRC. Wachangiaji mada ni Alhaj Mali Ali akiwa Paris Ufaransa na Andulkarim Atiki akiwa Dar es salaam Ta…
  continue reading
 
This week I talk about how I learned to retreat the way Jesus did and how I learned to be obedient as I started to dive into the scriptures. As I went away to gather my thoughts I found out how God was calling me into ministry and how that was going to look like. LETS STAY CONNECTED: Link Tree Instagram Facebook Twitter Website Give if you feel led…
  continue reading
 
Loading …

Gyors referencia kézikönyv